Thursday, August 18, 2016
hii ni movie ya mwisho kabla kinyambe ajafaliki dunia
tasnia ya comedi ilikumbwa na mzizimo mkubwa baaada ya kupotelewa na nguli wa komedi tanzani a kinyambe kitu kizuli ni kwamba kuna mtu wa kushika mikoba yake n anawez akucheza kma yeye mtu huyo anaitwa bles kinyambe kwenye sinema hii ya MWEHU amecheza nae nakupa time uicheki uone kilichofanywa humu ndani comedi hii inazinduliwa tare 20 mwezi huu agast pale mbeya baada y hapo itasambazwa kitaani lakini pia kama unaweza kusimamia mchongo wa kusambaza mcheki huyu jamaa au kama unahitaji kopi yako popote ulipo itakufikia tumia namba hii 0714405471
masanja ameoa kwa mbwembwe
agast 14 2016 kulikua na headlines kwenye sacial media zikiandika taarifa za masanja kufunga ndoa ukiachana na taarifa hiyo kingine ni pale kundi la ze orijino comedy walipoingia na nguo za kiaskali na taarifa za kiintelejinsia zililipoti siku moja bbaada ya hiuyo harusi nikwamba orijino comed wanatafutwa na polisi kwa kutuhumiwa kutumia vazi la kiaskali bila luhusa ya raisi
mzee yusuf amua kuachana na muziki wa taarab
Friday, August 5, 2016
jery mulo afunguka leo kwa wandishi wa habari
jery muro ambae ni afsa habari wa yanga ambapo alifungiwa na shilikisho la michezo tanzaniia tff mnamo tare 7 july kwa kukosa nidham ya matamshi kwa kifungo cha mwaka 1 jery muro akizungumza leo na wanahabari amesema 1hajapata tamko nla mwajili wake pili ajapokea balua ya kufungiwa kwahiyo anataka balua ya kufungiwa na baada ya kuipata ataangalia vipengele vilivyo mfanya akafungiwa akijilidhisha sawa asipo ridhika atakata rufaa
j qu jounir naa ude ude wa uawa jijini tanga juzu tarehe 3 agast vijana wanao kadiliwa kua na miaka kati ya 30 na 35 wameuawa baada ya kuiba pesa zilizo kua ndani ya gali ndogo walivunja kioo nakuchukua shi 120000 laki na ishilini baada ya hapo waligundulika kulkimbia lakini tayari polisi walikua washatanda na kuwatait baada ya kuona wamebanwa walitoa bastora kuswashambulia polisi ndipo polisi waliwashambulia na kufanikiwa kuwauwa watu wawili na wengine wawili kutokomea kwenye msitu watu hao ama wezi hao walio uawa wamefanikiwa kutambuliwa kama wasanii wa bongo freva nimeweka pesa kuonesha kwa kiasi gani wasanii wamekua wkipotea kwaajili ya tamaa ya pesa
Monday, August 1, 2016
edwad lowasa ampongeza raisi magufuli kwamaamuzi magumu
mweshimiwa lowasa ampongeza raisi magufuli kwa uamuzi wake wa kuhamishia ofc za kiselikali dodoma amesema nimaamuzi ya busara na sana ofisi za kiselikali kua makao makuu ya nchi na akasema ulikua mpango wa muda mrefu sana toka miaka ya sabini lakini hakukua na raisi alie weka msisitizo
Subscribe to:
Comments (Atom)


