Social Icons

Monday, June 20, 2016

young d kufunguka j5 stay with us

david genzi young d amesema baada yakuonekana hana msimamo kwenye mziki hata maisha yake kawa mtu wakudhalilika kwenyea mitandao yakijamii bosi wake wazami max kamsema sana aaachane na madawa pombe bang madema wasio jua hata kuandika ajiweke  kisanii sasa young d jumatano hii yupo tayari kufunguka mbele ya menejment mpya ambapo watu wamekua wakimuona zaidi na huyo mshikaji kwenye picha wakidai yeye ndie meneja mpya ngoja tusubili

No comments:

Post a Comment

 

Sample text

Sample Text

Sample Text

 
Blogger Templates