Social Icons

Monday, August 1, 2016

edwad lowasa ampongeza raisi magufuli kwamaamuzi magumu

mweshimiwa lowasa ampongeza raisi magufuli kwa uamuzi wake wa kuhamishia ofc za kiselikali dodoma amesema nimaamuzi ya busara na sana ofisi za kiselikali kua makao makuu ya nchi  na akasema ulikua mpango wa muda mrefu sana toka miaka ya sabini lakini hakukua na raisi alie weka msisitizo

No comments:

Post a Comment

 

Sample text

Sample Text

Sample Text

 
Blogger Templates