Friday, October 21, 2016
Dude arejea Tena bongo darsalam upya
Kulwa kikumba aka dude leo amefunguka live earadio kwenye shoo zao za kamatia Kitaa katika kipindi cha eadrive aliulizwa na mtangazaji wa hiko kipindi bongo darsalam iliyokupa umalufu na kua shoo inayotazamwa na watu wengi hakipo Tena na unawambiaje shabiki zako akasema imekua kama exclusive natamka kwa Mara ya kwanza kipindi kinaludi hivi karibuni Sasa tupo kwenye shouting ya hiko kipindi mtangazaji akauliza Tena nini kilisababisha ukaacha akasema TV haikua inalipa pesa za kujikim ila now tupo vizuli
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment