Friday, December 30, 2016
Monday, November 28, 2016
Friday, October 21, 2016
Dude arejea Tena bongo darsalam upya
Kulwa kikumba aka dude leo amefunguka live earadio kwenye shoo zao za kamatia Kitaa katika kipindi cha eadrive aliulizwa na mtangazaji wa hiko kipindi bongo darsalam iliyokupa umalufu na kua shoo inayotazamwa na watu wengi hakipo Tena na unawambiaje shabiki zako akasema imekua kama exclusive natamka kwa Mara ya kwanza kipindi kinaludi hivi karibuni Sasa tupo kwenye shouting ya hiko kipindi mtangazaji akauliza Tena nini kilisababisha ukaacha akasema TV haikua inalipa pesa za kujikim ila now tupo vizuli
Monday, October 17, 2016
Sunday, October 16, 2016
Fashion ni kitu muhim Sana kwenye maisha yako
Njoo ngosha designer ayepo kongowe mbagala 0652582501 tumia hiyo kufika ofcn kwetu upate nguo Mbali mbali Harusi hata za kawaida
Friday, September 30, 2016
Wednesday, September 14, 2016
huyu nae wakuitwa ghacia nitatambulisha video yake leo sa nne usiku kwahiyo nina exclusive mbili leo get read for this joint aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
wanaitwa t o classic kutoka daresalam tz na ngoma yao ya kidodose aa
sa tatu usiku ya leo takusogezeeni ngoma yao kidodose kwahiyo usiache kupitia blog hii muda huo ni exclusive kabisa
ANAITWA GHACI ANA NGOMA YAKE SINA STORY VIDEO
Wednesday, September 7, 2016
Thursday, August 18, 2016
hii ni movie ya mwisho kabla kinyambe ajafaliki dunia
tasnia ya comedi ilikumbwa na mzizimo mkubwa baaada ya kupotelewa na nguli wa komedi tanzani a kinyambe kitu kizuli ni kwamba kuna mtu wa kushika mikoba yake n anawez akucheza kma yeye mtu huyo anaitwa bles kinyambe kwenye sinema hii ya MWEHU amecheza nae nakupa time uicheki uone kilichofanywa humu ndani comedi hii inazinduliwa tare 20 mwezi huu agast pale mbeya baada y hapo itasambazwa kitaani lakini pia kama unaweza kusimamia mchongo wa kusambaza mcheki huyu jamaa au kama unahitaji kopi yako popote ulipo itakufikia tumia namba hii 0714405471
masanja ameoa kwa mbwembwe
agast 14 2016 kulikua na headlines kwenye sacial media zikiandika taarifa za masanja kufunga ndoa ukiachana na taarifa hiyo kingine ni pale kundi la ze orijino comedy walipoingia na nguo za kiaskali na taarifa za kiintelejinsia zililipoti siku moja bbaada ya hiuyo harusi nikwamba orijino comed wanatafutwa na polisi kwa kutuhumiwa kutumia vazi la kiaskali bila luhusa ya raisi
mzee yusuf amua kuachana na muziki wa taarab
Friday, August 5, 2016
jery mulo afunguka leo kwa wandishi wa habari
jery muro ambae ni afsa habari wa yanga ambapo alifungiwa na shilikisho la michezo tanzaniia tff mnamo tare 7 july kwa kukosa nidham ya matamshi kwa kifungo cha mwaka 1 jery muro akizungumza leo na wanahabari amesema 1hajapata tamko nla mwajili wake pili ajapokea balua ya kufungiwa kwahiyo anataka balua ya kufungiwa na baada ya kuipata ataangalia vipengele vilivyo mfanya akafungiwa akijilidhisha sawa asipo ridhika atakata rufaa
j qu jounir naa ude ude wa uawa jijini tanga juzu tarehe 3 agast vijana wanao kadiliwa kua na miaka kati ya 30 na 35 wameuawa baada ya kuiba pesa zilizo kua ndani ya gali ndogo walivunja kioo nakuchukua shi 120000 laki na ishilini baada ya hapo waligundulika kulkimbia lakini tayari polisi walikua washatanda na kuwatait baada ya kuona wamebanwa walitoa bastora kuswashambulia polisi ndipo polisi waliwashambulia na kufanikiwa kuwauwa watu wawili na wengine wawili kutokomea kwenye msitu watu hao ama wezi hao walio uawa wamefanikiwa kutambuliwa kama wasanii wa bongo freva nimeweka pesa kuonesha kwa kiasi gani wasanii wamekua wkipotea kwaajili ya tamaa ya pesa
Monday, August 1, 2016
edwad lowasa ampongeza raisi magufuli kwamaamuzi magumu
mweshimiwa lowasa ampongeza raisi magufuli kwa uamuzi wake wa kuhamishia ofc za kiselikali dodoma amesema nimaamuzi ya busara na sana ofisi za kiselikali kua makao makuu ya nchi na akasema ulikua mpango wa muda mrefu sana toka miaka ya sabini lakini hakukua na raisi alie weka msisitizo
Tuesday, July 12, 2016
ubunifu mpya wa kulea mtoto hata kama mama yake hayupo
ubunifu wa aina yake hata kama mama mtoto hayupo unavaa sula yake ya bandia na mtoto anaashumu mama ndio ananinyonyesha kazi inakua imeishia hapo jamani hii nikali sana hii imefanyika huko nchini japani kiboko hii
tecnorojia mpya kwa wezi wa sentimira
watu wameamua kuja na ubunifu mpya wa kudhibiti wezi wa sentimira kwa kufunga uzio wa nondo na kufuli juu hii imefanuyika bongo wabongo nao wezi wakale wapi ila poa sana hii nimeipeanda wezi by by
Biashara mpya ya wema sepetu mis tz 2006
wema sepetu kaja na biashara hii ya viatu vya chini chini kama ndala vyenye jina lake na kusema yeye anapenda sana viatu vifupi vya chini ndio maana amewaletea viatu hivi ambapo vitauzwa kwa bei ya sh 12000 jumla rejareja ni sh 15000 ni hatua nzuli kwa wadada wakibongo kuonesha utofauti kwenye tasnia anayofanya
Tuesday, June 28, 2016
richa ya kua marufu kiasi hiki lakini black cofee katake over bet awords
chibudi chibudee dangote bin lade simba zile shangwe za air port ziiiiiii this time around sisemi kwa ushabiki ila namasikitiko tena sana sana ila kwenye mchezo kuna kusinda nakushindwa jamaa kutoka south africa wakuitwa black cofee achukua tuzo hiyo ya best artist africa mwanangu diamondi uusikonde next time around yetu hiyo
Friday, June 24, 2016
mpoki adondoka kwenye tamasha la e fm wakitamgaza live viwanja vya mwembe yanga
june 24 /2016 headlines nyingine kwa mpoki baada ya kudodoka kwenye tamasha la efm live wakitangaza katika viwanja vya mwembe yanga bwana huyu wakati anaongea na wananchi alidondoka chini na kupoteza faham nakupelekwa hosptli lakini mpa muda wa sakumi na mbili jioni hali yake ilirejea vizuli nakuruhusiwa kwenda nyumbani kwake kigamboni
Thursday, June 23, 2016
DIAMOND KAPEWA HEADLINES MTV BASE
Ni jambo kubwa kwa kituo kikubwa kama MTV BASE kukupa headlines sasa hii diamondi kaipata leo pale kituo hiki kilipo ripoti kua diamond anataraji mtoto wa pili kutoka kwa zali baadaya tipha comeng soon kababy kengine mmmmh mimi siweki coment
BET AWORDS DIAMOND LAZIMA NICHUKUE NGAO HIYO
Diamond platnum kwenye kategoli ya msanii bola wa afica BEST AFRICAN ARTIST katika tuzo za BET zinazofanyika ,marekani wiki hii tumuombee dua kwa wingi hata kula pia. akizungumza na kiyuo hiki D amesema lazima niludi na tuzo hakuna mwingine
vanesa mdee kachagulwa kwenye tuzo za nigeria entertainment awards
mwanadada mwingine kwenye historia yamuzioki bongo vanesa mdee kachaguliwa kwenye kategoli ya AFRICAN FEMALE ARTIST kwa kibongo MSANII BORA WA KIKE AFRICA kwenye tuzo za NIGERIA ENTERTINMENT AWARDS ninafasi kubwa sana hiyo kwake hata kwetu kwenye kuitangaza nchi pia hata kuusogeza mziki wetu mabali tutakupa update kila zitapo patikana
Wednesday, June 22, 2016
TID povu limemtoka bilnas nimwanangu nimemfunza mengi kwanini asinikumbuke
muimbaji wa bongo freva kitambo sana kwa gem miaka ya 2000 limemtoka povu la malalamiko kwa kijana wake bilnas mkali wa chaf pozi ligi ndogo na raha raha aliyo fanya na nazizi pamoja na tid mnyama bwana ti anasema haiwezekani dogo apige mtonyo kibao anisahau kiasi hicho hata laki tano kusema kaka zawadi ya matunda yako nashukulu hakuna kiukwerli inaniuma sana kuona dogo anasahau alipo toak mimi namchango mkubwa sana kwenye mziki wake kama %70 namwandikia mistar menrod njinsi yakupita kuwateka mashabiki pia nimefanya kazi kubwa kumshawishi nazizi mpaka kafanya nae kazi wakati huo hata ajulikani hayo maneno ya mnyama tid nitakuletea upande wa bilnas
Subscribe to:
Comments (Atom)



















