Social Icons

Tuesday, June 28, 2016

richa ya kua marufu kiasi hiki lakini black cofee katake over bet awords

chibudi chibudee dangote bin lade simba zile shangwe za air port ziiiiiii this time around sisemi kwa ushabiki ila namasikitiko tena sana sana ila kwenye mchezo kuna kusinda nakushindwa jamaa kutoka south africa wakuitwa black cofee achukua tuzo hiyo ya best artist africa mwanangu diamondi uusikonde next time around yetu hiyo

ally nipishe new song

hii ni come back ya huyu kijana baada ya kutoka jela

Friday, June 24, 2016

papa wemba ft diamond chacun pour soi


mpoki adondoka kwenye tamasha la e fm wakitamgaza live viwanja vya mwembe yanga

june 24 /2016 headlines nyingine kwa mpoki baada ya kudodoka kwenye tamasha la efm live wakitangaza katika viwanja vya mwembe yanga bwana huyu wakati anaongea na wananchi alidondoka chini na kupoteza faham nakupelekwa hosptli lakini mpa muda wa sakumi na mbili jioni hali yake ilirejea vizuli nakuruhusiwa kwenda nyumbani kwake kigamboni

Thursday, June 23, 2016

richi mavoko from WCB Wsafi clasc baby


mira ft baba naji baraka da prince

hebu niambie nani katisha sana humu

DIAMOND KAPEWA HEADLINES MTV BASE

Ni jambo kubwa kwa kituo kikubwa kama MTV BASE kukupa headlines sasa hii diamondi kaipata leo pale kituo hiki kilipo ripoti  kua diamond anataraji mtoto wa pili kutoka kwa zali baadaya tipha comeng soon kababy kengine mmmmh mimi siweki coment

BET AWORDS DIAMOND LAZIMA NICHUKUE NGAO HIYO

Diamond platnum kwenye kategoli ya msanii bola wa afica BEST AFRICAN ARTIST  katika tuzo za BET zinazofanyika ,marekani wiki hii tumuombee dua kwa wingi hata kula pia. akizungumza na kiyuo hiki D amesema lazima niludi na tuzo hakuna mwingine

come back ya mb dog akiwa chini ya qs bandi


vanesa mdee kachagulwa kwenye tuzo za nigeria entertainment awards


mwanadada mwingine kwenye historia yamuzioki bongo vanesa mdee kachaguliwa kwenye kategoli ya AFRICAN FEMALE ARTIST kwa kibongo MSANII BORA WA KIKE AFRICA kwenye tuzo za NIGERIA ENTERTINMENT AWARDS ninafasi kubwa sana hiyo kwake hata kwetu kwenye kuitangaza nchi pia hata kuusogeza mziki wetu mabali   tutakupa update kila zitapo patikana

Wednesday, June 22, 2016

TID povu limemtoka bilnas nimwanangu nimemfunza mengi kwanini asinikumbuke

muimbaji wa bongo freva kitambo sana kwa gem miaka ya 2000 limemtoka povu la malalamiko kwa kijana wake bilnas mkali wa chaf pozi ligi ndogo na raha raha aliyo fanya na nazizi pamoja na tid mnyama bwana ti anasema haiwezekani dogo apige mtonyo kibao anisahau kiasi hicho hata laki tano kusema kaka zawadi ya matunda yako nashukulu hakuna kiukwerli inaniuma sana kuona dogo anasahau alipo toak mimi namchango mkubwa sana kwenye mziki wake kama %70 namwandikia mistar menrod njinsi yakupita kuwateka mashabiki pia nimefanya  kazi kubwa kumshawishi  nazizi mpaka kafanya nae kazi wakati huo hata ajulikani hayo maneno ya mnyama tid nitakuletea upande wa bilnas

Klasa za mbele kwenye magzeti ya leo wameandika hivi















Utashangaa lakini watu wanapiga pesa hizi ni faneture za matail ya gali yametengenezwa huwezi amini




MAAJABU YA DUNIA HAYO SAMAKI MBWA ATA KAMA UOONGO ILA HII HAPANA TUAMINI TU


YOUNG D ALUDI MDB RECORD KWA BOSS WAKE MAX RIOBA

Msanii young d doud genzi paka lapa wa bongo hip hop tz leo katambulisha uongozi wake mpya ila ni ule ule wa zamani baaada yakuzinguana na bos weake max alikua pekeyake bila uongoz na kua na strees mara kwa mara mpaka kufikia kujiingiza kwenye madawa ya kulevya pombe bila kipimo na kua kama kapata uchizi lakini kwa sasa kaludi kwenye uongozi wake wa zamani MDB RECORD akiwa na afya na kaachana na mambo yote na yupo tayari kutililisha ngoma kali kutoka pale

sijaja wcb kutafuta gali wala nyumba vyote ninavyo hapa kazi kwenda mbele

lengo kuu la kujiunga na wcb wasafi ni kutaka kutanua mziki wangu na kushilikiana kwa pamoja ili kufikia malengo bila kusuasua naamini kwenye lebo kuna motisha zaidi kutokana lebo inataka kutanuka kwa kusimamia wasaanii vizuli nami pia nataka kufanya kazi kwa nguvu ili kujiaminisha kwao kama nimekuja kwaajili ya kazi na si kuuza sula hayo nimaneno ya richi mavoko, kazi yangu ni kukusogezea tu zikipita karibu yangu pamoja mshikaji wangu DAM mmmh

kutoka feli jijini dsm ukarabati wa pantoni kukamilika mwezi wa nane

wazili wa ujenzi mawasiliano na uchukuzi prof makame mbalawa  ameitaka kalakana ya kigamboni inayoshugulikia ukalabati wa pantoni kuawahi kumaliza ili kupunguza aza ya usafili kwa wakazi wa dsm mkulugenzi wea kalakana hiyo le khujan manase amesama kazi hiyo wamekabidhiwa TAMESA na mwezi wa nane zitakua zimekamilika

nilitishiwa maisha yangu ukawa. ccm wafika pabaya








nape nauye amesama kipindi hiki cha fukuto la kisiasa amekua akipokea cm za vitisho usiku hata mchana kutoka kwa watu tofauti 







































tujikumbushe na fashion pia jamani nikizidaka kali mi nakusogezea tu mshiikaji wangu

hili nivazi la kiafrika limedizainiwa kwa kwa kitenge na kitambaa cha rangi moja inavutia sana popote unaweza kutoka nayo kazini kwe ivent kwenye shuhuli za usiku

jamani mungu yupo amini hivyo maajabu haya si bule



mvua ya ajabu ama maajabu ya mungu huko togo limefunguka wingu nakutililisha maji toka mbiguni na kutoboa ardhi maji yakawa yanazama chini bila kusambaa ardhini

FURSA NYINGINE KWA WAJASILIA MALI TANZANIA NZIMA

Fursa kwa wajasilia mali wote tanzania  mama samia suluhu ametoa mafunzo ya kijasilia mali  kwa siku tatu kwa kinamama amewataka kinamama kutengeneza vikundi na kupatiwa mafunzo hayo ili kuwawezesha kupata mikopo kirahisi zaid hayo yote aliongea katika bwalo la jeshi la polisi mgulani jijini dae es salam
 

Sample text

Sample Text

Sample Text

 
Blogger Templates