Social Icons

Wednesday, June 22, 2016

kutoka feli jijini dsm ukarabati wa pantoni kukamilika mwezi wa nane

wazili wa ujenzi mawasiliano na uchukuzi prof makame mbalawa  ameitaka kalakana ya kigamboni inayoshugulikia ukalabati wa pantoni kuawahi kumaliza ili kupunguza aza ya usafili kwa wakazi wa dsm mkulugenzi wea kalakana hiyo le khujan manase amesama kazi hiyo wamekabidhiwa TAMESA na mwezi wa nane zitakua zimekamilika

No comments:

Post a Comment

 

Sample text

Sample Text

Sample Text

 
Blogger Templates