Social Icons

Tuesday, June 21, 2016

dongo kwa bongo fleva artist

muziki  kwasasa nbiashara sio kama zamani maneno hayo aliseama  mdau mmoja wa wamziki na meneja wa tht wasanii wazamani walishindawa kutoboa kwasababu yakulidhika kama mr nice bushoke juma nature walilidhika ila kwa sasa watu wananjaa kama mond bini ladeni ally kiba vanesa hao wana njaa zamani walio fanya vizuli mpaka leo ni mr blue prof j jide hao ndio hawakuridhka

No comments:

Post a Comment

 

Sample text

Sample Text

Sample Text

 
Blogger Templates