Social Icons

Monday, June 20, 2016

kauli ya kutokua na mafuta ya taa yakutosha nchini imekanushwa na meneja wa petrol nchini gogwin samuel

june 20 2016 taarifa kubwa kwenye magazeti ni mafuta yataa kutokuwepo kwa wingi nchini sasa hapa tupo na meneja petrol nchini bwana godwini samuel anasema. kuna meli ishafika bandalini inamzigo wa lita milioni mbili na laki tano ambapo mafuta hayo yanauwezo wakukaa wiki mbili tasmini zianasema kwasiku tunatumia lita laki moja na ishilini nasita

No comments:

Post a Comment

 

Sample text

Sample Text

Sample Text

 
Blogger Templates