Social Icons

Tuesday, June 21, 2016

mwingine tena kushitakiwa kwa kumtukana raisi magufuli whatsap baada ya yule assak abakuk waarusha ambapo alitakiwa kutoa faini ya milioni 7 na mchango ulifanyika wadau wakapata milion 4.5 sasa huyu mwingine kaingia kwenye headlines leo bwana leonad mlokoz kyaruzi ameshitakiwa kwa kusambaza maoni mitandaon kuhusiana na raisi
























No comments:

Post a Comment

 

Sample text

Sample Text

Sample Text

 
Blogger Templates