Social Icons

Tuesday, June 21, 2016

gwajima ang'ang'aniwa na polisi

polisi kanda malum ya dalesalam imsema inaendelea kumtafuta askof  mkuu wa kanisa la ufufuo na uzima josephat gwajima kwa ajil ya kumhoji kuhusu maubili yake aliyotoa wiki iliyopita juni 11 tatizo kubwa alionekana kuukosoa utendaji kazi wa rais mstaaf jakaya kikwete nakuusifia utendaji kasi wa raisi magufuli

No comments:

Post a Comment

 

Sample text

Sample Text

Sample Text

 
Blogger Templates