Tuesday, June 21, 2016
barnaba akili hip hop mziki mzuli kuwasaini wanne kwenye lebo yake
mkali wa bongo freva nafundi wakusuka hit chini ya high table sound ameanzisha lebo ambayo amesain waimbaji wa kulap tu wasanii hao/ sia/asia/ais boy/na mula / pia kasema anatamani kusaini wasanii wa kike hata wawili pia leo katambulisha ngoma ya wasanii wawili wakiwa wamefanya pamoja ais boiy na mula nitakuletea mshikaji wangu muda wowot stay with us
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment